قُلْ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ﴿١﴾
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ﴿٢﴾
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ﴿٣﴾
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
وَلَمْ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدٌۢ﴿٤﴾
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
Al-Ikhlaas·Sincerity
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
قُلْ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ﴿١﴾
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ﴿٢﴾
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ﴿٣﴾
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
وَلَمْ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدٌۢ﴿٤﴾
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.